Papa Zefirino.

Papa Zephyrinus alikuwa papa kuanzia takriban 198 hadi kifo chake tarehe 20 Desemba 217/218[1]. Alitokea Roma, Italia.

Alimfuata Papa Vikta I akafuatwa na Papa Kalisto I.

Alipambana na aina mbalimbali za uzushi kutetea umungu wa Yesu Kristo[2] .

Pia alitegemeza Wakristo katika dhuluma ya kaisari Setimio Severo (193-211)[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Desemba[4][5].

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Optatus, De Schismate 1,1
  3. A. Butler, Lives of the Saints Vol VIII, 1866
  4. "Calendarium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 1969), p. 136
  5. "Martyrologium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN 88-209-7210-7)

Marejeo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Pope Zephyrinus
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Zephyrinus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.