Papa Yohane V alikuwa Papa kuanzia tarehe 23 Julai 685 hadi kifo chake tarehe 2 Agosti 686[1]. Alitokea Syria[2].
Alimfuata Papa Benedikto II akafuatwa na Papa Konon.
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |