Papa Yohane VI.

Papa Yohane VI alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Oktoba 701 hadi kifo chake tarehe 11 Januari 705.[1][2]. Alitokea Ugiriki[3] au alizaliwa Efeso (leo katika nchi ya Uturuki).

Alimfuata Papa Sergio I akafuatwa na Papa Yohane VII.

Tazama pia

Tanbihi

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. http://www.newadvent.org/cathen/08423a.htm
  3. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.