Antifona ikiimbwa.
Nota za Regina caeli[1]

"Regina caeli" (tamka: reˈdʒina ˈtʃeli; maana yake Malkia wa Mbingu)ni antifona inayotumika kumuelekea Bikira Maria katika Kanisa la Kilatini wakati wa Pasaka, kuanzia Dominika ya Ufufuko wa Yesu hadi Pentekoste.

Katika siku hizo hamsini ndiyo antifona pekee inayotumika kumalizia Sala ya mwisho ya Liturujia ya Vipindi [2] lakini pia inashika nafasi ya sala ya Angelus (inayofanyika mara tatu kwa siku: asubuhi, adhuhuri na jioni).

Maneno asili kwa Kilatini

Tafsiri ya Kiswahili

Historia

Mtunzi wa Regina caeli hajulikani. Kimaandishi inapatikana katika kitabu cha antifona cha mwaka 1200 hivi kinachotunzwa katika Basilika la Mt. Petro, huko Vatikani, jijini Roma.[5]

Tazama pia

Tanbihi

  1. The Regina caeli sung. Youtube. Re-accessed Oct 2021.
  2. "Finally one of the antiphons of the Blessed Virgin Mary is said. In Eastertide this is always the Regina caeli" (General Instruction of the Liturgy of the Hours, p. 18, paragraph 92).
  3. Loyola Press: Regina Caeli. Re-accessed Oct 2021.
  4. Misale ya waamini, toleo la mwaka 2021.
  5. Heinz, Andreas (1997). in Walter Kasper: Marianische Antiphonen, 3 6, Freiburg im Breisgau: Verlag Herder, 1358. ISBN 9783451220012. 

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Regina caeli