Ramani ya Kaunti ya Homa Bay, Kenya

Kaunti ya Homa Bay ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,131,950 katika eneo la km2 3,152.5, msongamano ukiwa hivyo wa watu 359 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Homa Bay.

Utawala

Kaunti ya Homa Bay ina maeneo bunge yafuatayo:

Eneo bunge Kata
Homa Bay Mjini Homabay Central, Homabay Arujo, Homabay West, Homabay East
Kabondo Kasipul Kabondo East, Kabondo West, Kokwanyo/Kakel, Kojwach
Karachuonyo West Karachuonyo, North Karachuonyo, Kanyaluo, Central Karachuonyo, Kibiri, Wangchieng', Kendu Bay Town
Kasipul West Kasipul, South Kasipul, Central Kasipul, East Kamagak, West Kamagak
Mbita Mfangano Iskand, Rusinga Island, Kasgunga, Gembe, Lambwe
Ndhiwa Kwabwai, Kanyadoto, Kanyikela, Kabuoch South/Pala, Kanyamwa Kalogi, Kanyamwa Kosewe, Kabuoch North
Rangwe West Gem, East Gem, Kagan, Kochia
Suba Gwassi South, Gwassi North, Kaksingri West, Ruma-Kaksingri

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019)

Tazama pia

Tanbihi

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.