Eneo bunge la Karachuonyo ni moja kati ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hilo linapatikana katika kaunti ya Homa Bay na ni moja ya Majimbo nane ya Uchaguzi katika kaunti hiyo.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1963.
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1963 | Elijah Omolo Agar | KANU | |
1969 | David Okiki Amayo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1974 | David Okiki Amayo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1979 | Phoeba Muga Asiyo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1983 | Phoeba Muga Asiyo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1988 | David Okiki Amayo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Phoeba Muga Asiyo | Ford-Kenya | |
1997 | Peter Adhu Awiti | NDP | |
2002 | Peter Adhu Awiti | NARC | |
2007 | James Kwanya Rege | ODM |
Wodi | ||
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha | Utawala wa Mitaa |
---|---|---|
Central Karachuonyo | 3,847 | Rachuonyo County |
Gendia / Awach | 3,331 | Kendu Bay (mji) |
Kumba / Jieri | 4,121 | Kendu Bay (mji) |
Kanyaluo | 6,371 | Rachuonyo County |
Kibiri | 6,205 | Rachuonyo County |
North West Karachuonyo | 8,076 | Rachuonyo County |
Rambira | 2,283 | Kendu Bay (mji) |
Simbi / Kogembo | 3,282 | Kendu Bay (mji) |
Wang'chieng / Karabondi | 7,905 | Rachuonyo County |
West Karachuonyo | 7,053 | |
Jumla | 52,474 | |
*Septemba 2005 [2].
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Karachuonyo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |