Dadaab | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Garissa |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 245,126 |
Dadaab ni mji wa Kenya ambao wakazi wake wengi ni wakimbizi. Unaunda kata ya kaunti ya Garissa, eneo bunge la Dadaab[1].
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Dadaab kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |