Bukomansimbi ni mji wa Uganda wenye wakazi takribani 9,900 (sensa ya mwaka 2014[1]). Ndio makao makuu ya wilaya hiyo.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bukomansimbi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |