Wadaasanach (pia: Wadasenach, Wadassanech, Wamarille au Wageleba) ni kabila la watu wa jamii ya Waniloti wanaoishi karibu na ziwa Turkana katika nchi tatu: Ethiopia (50,000[1]), Kenya na Sudan Kusini.
Lugha yao ni Kidaasanach, mojawapo kati ya lugha za Kikushi[2].
Pamoja na kuendeleza desturi ya ufugaji, siku hizi wengi huwa wanalima pia.
![]() |
Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wadaasanach kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |