Bendera ya Senegal ina milia tatu za wima pamoja na nyota ya pembetatu katikati.
Milia ni za rangi nyekundu, njano na kijani kibichi. Nyota ni ya kijani.
Maana ya rangi ni kama zifuatazo:
Asili ni bendera ya Shirikisho la Mali ya mwaka 1959. Wakati ule Senegal na Sudan ya Kifaransa zilikuwa pamoja katika Shirikisho hadi mwaka 1960. Bendera ya shirikisho ilikuwa ileile, isipokuwa ilionyesha umbo jeusi la mwanadamu katikati. Senegal iliendelea na bendera lakini umbo la mtu lilibadilishwa kuwa nyota.
Rangi ni zilezile zinazopatikana katika bendera nyingi za kiafrika kutokana na athari ya Ethiopia kama nchi ya Afrika iliyofaulu kujitetea dhidi ya majaribio ya kuitawala kikoloni.
Nchi huru | Jamhuri ya Afrika ya Kati · Afrika Kusini · Algeria · Angola · Benin · Botswana · Burkina Faso · Burundi · Cabo Verde · Chad · Cote d'Ivoire · Eritrea · Eswatini · Ethiopia · Gabon · Gambia · Ghana · Guinea · Guinea-Bissau · Guinea ya Ikweta · Jibuti · Kamerun · Kenya · Komori · Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo · Jamhuri ya Kongo · Lesotho · Liberia · Libya · Madagaska · Malawi · Mali · Mauritania · Misri1 · Morisi · Moroko · Msumbiji · Namibia · Niger · Nigeria · Rwanda · São Tomé na Príncipe · Senegal · Shelisheli · Sierra Leone · Somalia · Sudan · Sudan Kusini · Tanzania · Togo · Tunisia · Uganda · Zambia · Zimbabwe |
---|---|
Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa | Jamhuri ya Kiarabu ya Sahrawi |
Maeneo ya Afrika ya kujitawala chini ya nchi nyingine | Visiwa vya Kanari / Ceuta / Melilla (Hispania) · Madeira (Ureno) · Mayotte / Réunion (Ufaransa) · Saint Helena (Ufalme wa Muungano) · Zanzibar (Tanzania) |