Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!
Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.
Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.
Kwa mawili matatu labda tazama:
Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.
Ujue miiko:
Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!
Welcome to Kiswahili Wikipedia!
We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:
As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.
Idd ninga (majadiliano) 11:50, 13 Julai 2021 (UTC)
Salamu Edward, hongera kwa kuanzisha makala katika Wikipedia ya Kiswahili, napenda kukumbusha kuwa hebu pitia makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Nicola_Formby ni makala ambayo haipo katika muundo mzuri na inaonekana kuwepo dalili ya kutumia machine za kutafsiri katika makala hii, hivyo ni bora kuendelea kuboresha makala ulizoandika leo pamoja na kusoma namna ya kuanzisha makala kabla ya kuendelea na kuanzisha makalal mpya , Amani Sana Idd ninga (majadiliano) 20:52, 27 Oktoba 2021 (UTC)
Ndugu, imenibidi kukuzuia kwa sababu zinazotajwa chini. Wakati unapokuwa umezuiwa huwezi kuhariri isipokuwa penye huu ukurasa wako wa majadiliano. Unaweza kunijibu kwa kutumia “Email this user”.
Sababu ni kuwa umeingiza matini iliyopatikana kwa njia ya tafsiri ya kompyuta ikiwa na kasoro nzito ya lugha. Umearifiwa kwamba ni marufuku kumwaga matokeo ya google translate katika makala zetu. Wachangiaji wanaopuuza utaratibu huu wanasababisha hasara kubwa kwa Wikipedia yetu na kuwapa wengine kazi kubwa mno ya kusafisha makosa yao.
Bila shaka una nia nzuri kuchangia katika Wikipedia. Tutafurahi kushirikiana nawe lakini ni lazima ufuate utaratibu. Kazi yetu kama wakabidhi ni kulinda mradi huu.
Ukiwa tayari kufuata utaratibu pamoja na kupitia upya matini ulizozileta tayari, naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika Wikipedia:Email.
Idd ninga (majadiliano) 17:42, 29 Oktoba 2021 (UTC)
Salamu, tafadhali pitia katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Daphne_Courtney kuna dalili ya kutumika tafsiri ya kompyuta na pia maneno yamefanyiwa copy na kupaste moja kwa moja bila kwenda kufungua kurasa ya edit katika wikipedia ya kiingereza tafadhali tazama tena namna ya kuanzisha makala, pia typing error zinaonekana kuwa nyingi katika makala hiyo na makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Daphney_Hlomuka ,Amani sana Idd ninga (majadiliano) 17:42, 29 Oktoba 2021 (UTC)
Salamu, unaonekana bado unaendelea kuleta tafsiri ya Kompyuta katika makala unazoanzisha, mfano ni makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Dany_Silva , pia makala hiyo katika Kiingereza ilikuwa na vyanzo lakini ulipoitafsiri haikuwa na chanzo hata kimoja, fanyia marekebisho kabla ya kuendelea na makala nyingine, Amani Sana Idd ninga (majadiliano) 21:54, 23 Aprili 2022 (UTC)
Pitia pia katika makala hii hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Antonio_travadinha , kumbuka usilete makala nyingi zisofuata utaratibu wa uandishi, zingatia sana hilo Amani sana Idd ninga (majadiliano) 22:10, 23 Aprili 2022 (UTC)
Katika makala zako unazotafsiri katika kiingereza zinakuwa na vyanzo lakini unapoleta katika Kiswahili unaondoa vyanzo hivyo, inaonekana kwamba unacopy maneno ya kiingereza bila kufungua kitufe cha EDIT,ili kuanzisha makala, nenda katika makala ya kiingereza na ufungue neno EDIT kisha copy maneno yaliyopo ndani ya makala hiyo na kisha uje kupaste katika makala unayotaka kuanzisha,alama zinazoanziwa na [1] ndani yake ndipo kuna vyanzo,usifute wala kubadili kitu,Amani sana Idd ninga (majadiliano) 09:45, 25 Aprili 2022 (UTC)
Ndugu, uwe makini zaidi. Unatunga kurasa ambazo zipo tayari (kwa sababu hutafsiri musician kuwa mwanamuziki), unaweka jamii zenye makosa, kama vile: Watu wanaoishi badala ya Watu walio hai, unatumia vyanzo vya Wikipedia ya Kiingereza n.k. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 11:20, 3 Mei 2022 (UTC)
Ndugu, imenibidi kukuzuia kwa sababu zinazotajwa chini. Wakati unapokuwa umezuiwa huwezi kuhariri isipokuwa penye huu ukurasa wako wa majadiliano. Unaweza kunijibu kwa kutumia “Email this user”.
Sababu ni kuwa umeingiza matini iliyopatikana kwa njia ya tafsiri ya kompyuta ikiwa na kasoro nzito ya lugha. Umearifiwa kwamba ni marufuku kumwaga matokeo ya google translate katika makala zetu. Wachangiaji wanaopuuza utaratibu huu wanasababisha hasara kubwa kwa Wikipedia yetu na kuwapa wengine kazi kubwa mno ya kusafisha makosa yao.
Bila shaka una nia nzuri kuchangia katika Wikipedia. Tutafurahi kushirikiana nawe lakini ni lazima ufuate utaratibu. Kazi yetu kama wakabidhi ni kulinda mradi huu.
Ukiwa tayari kufuata utaratibu pamoja na kupitia upya matini ulizozileta tayari, naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika Wikipedia:Email.
Kipala (majadiliano) 19:35, 19 Oktoba 2022 (UTC)
Ndugu, imenibidi kukuzuia kwa sababu zinazotajwa chini. Wakati unapokuwa umezuiwa huwezi kuhariri isipokuwa penye huu ukurasa wako wa majadiliano. Unaweza kunijibu kwa kutumia “Email this user”.
Sababu ni kuwa umeingiza matini iliyopatikana kwa njia ya tafsiri ya kompyuta ikiwa na kasoro nzito ya lugha. Umearifiwa kwamba ni marufuku kumwaga matokeo ya google translate katika makala zetu. Wachangiaji wanaopuuza utaratibu huu wanasababisha hasara kubwa kwa Wikipedia yetu na kuwapa wengine kazi kubwa mno ya kusafisha makosa yao.
Bila shaka una nia nzuri kuchangia katika Wikipedia. Tutafurahi kushirikiana nawe lakini ni lazima ufuate utaratibu. Kazi yetu kama wakabidhi ni kulinda mradi huu.
Ukiwa tayari kufuata utaratibu pamoja na kupitia upya matini ulizozileta tayari, naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika Wikipedia:Email.
Ndugu umerudia kuleta matini ulizonakili kutoka tafsiri ya kompyuta kwenye makala Conserving Carolina. Ulisahihisha kidogo sana lakini uliacha Kiswahili kibaya na kuunda kazi kwa wengine. Kipala (majadiliano) 09:48, 22 Mei 2023 (UTC)
Ndugu, unapoweka sanduku la mtu katika makala, angalia kusiwe na picha pacha: moja ndani, nyingine nje ya sanduku. Ikiwemo ndani, uondoe ile ya nje. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 08:51, 2 Septemba 2023 (UTC)
Habari ndugu, hongera kwa kuanzisha makala na kuchangia vyema, naona bado unaanzisha makala bila kufata muongozo wa kuanzisha makala ulio bora mfano wa makala Prudencia Paul Kimiti makala hii hujaweka vyanzo, marejeo, ujaweka kiungo kuonyesha kama ipo kwenye lugha nyingine . Nitafuraishwa kama utairekebisha, Amani kwako!! Hussein m mmbaga (majadiliano) 01:36, 11 Oktoba 2023 (UTC)
Habari ndugu , hongera kwa kutoa mchango wako , lakini naona makala unazoanzisha tayari zimeshaandikwa tafadhali kuwa makini na makala unazo anzisha mfano lama language kwa kiswahili ni Kilama na makala tayari imeshaandikwa
Ukiwa una fanya tafsiri ya makala kutoka kingereza kwenda kiswahili hakikisha unaandalia kiungo cha lugha upande wa kushoto utakuta kuna lugha nyingi zimeandikwa pale ukiona lugha ya kiswahili hiyo makala inaonyesha hata kwenye kiswahili ipo Amani kwako!! Hussein m mmbaga (majadiliano) 12:47, 6 Machi 2024 (UTC)
Ndugu, tafadhali usiweke mbegu ovyo! Mtu si filamu, si michezo, si sheria, ni mtu, hivyo weka ((mbegu-mtu)) au ((mbegu-igiza-filamu)) au ((mbegu-cheza-mpira)) n.k. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 12:37, 26 Machi 2024 (UTC)