Wizara ya Miundombinu (Kiingereza: Ministry of Infrastructure Development) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.

Kazi yake ni kupanga na kusimami maendeleo ya miundombinu nchini.

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]