Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi ni aina moja ya Tuzo za Pulitzer ambazo hutolewa kila mwaka nchini Marekani. Ilitolewa kuanzia 1922 lakini kulikuwa na tuzo maalumu kabla ya hapo.
Kupitia kwa hiba kutoka “Shirika la Ushairi” (Kiing. The Poetry Society), wasia wa Pulitzer uliweza kutoa tuzo maalumu kwa ushairi miaka ya 1918 na 1919. Waliotuzwa ni wafuatao:
Katika miaka 92 hadi 2013, Tuzo ya Ushairi ilitolewa mara 92; kulikuwa na washindi wawili mwaka wa 2008, na hakuwa na tuzo 1946. Kulikuwa na mashairi mbalimbali waliotuzwa zaidi ya mara moja tu: