Alan Dugan (12 Februari 19233 Septemba 2003) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1962 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Kitabu chake cha kwanza kilichapishwa mwaka 1961 na kushinda kama mshairi kijana.

Kitabu chake cha mwisho kiliitwa kwa jina la Poems Seven: New and Complete Poetry, kilichapishwa mwaka 2001 na Seven Stories Press kutoka New York City anakilishinda tena kwa mara ya pili tuzo za National Book Award

Maisha

[hariri | hariri chanzo]

Dugan alikulia nchini Jamaica, na kupigana vita vya pili vya dunia ambapo alijifunza pia ushairi lakini kabla ya hapo hakuwa mtu wa kupendelea mashairi.

Aliishi katika jimbo la Massachusetts, ambapo alikuwa mwanachama wa katika kituo cha Fine Arts Work Center.

Alan Dugan alimuoa mwanasanaa Judith Shahn, na alifariki kwa ugonjwa wa pneumonia mnamo Septemba 3, 2003, akiwa na umri wa miaka 80.[1]

Tuzo

[hariri | hariri chanzo]

Katika maisha yake Dugan alipata tuzo zifuatazo

Kazi zake

[hariri | hariri chanzo]

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
  1. https://www.nytimes.com/2003/09/05/arts/alan-dugan-80-barbed-poet-of-daily-life-s-profundities.html New York Times Obituary
  2. "National Book Awards – 2001". National Book Foundation. Retrieved 2012-03-03.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alan Dugan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.