Bamburi | |
Mahali pa mji wa Bamburi katika Kenya |
|
Majiranukta: 4°0′0″S 39°42′59″E / 4.00000°S 39.71639°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Mombasa |
EAT | (UTC+3) |
Bamburi inapatikana katika tarafa ya Kisauni, Kaskazini-Mashariki mwa Kisiwa cha Mombasa. Ni kata ya kaunti ya Mombasa, eneo bunge la Kisauni nchini Kenya[1].
Bamburi ndiko kupatikanako kiwanda cha Simiti ya Bamburi, tawi la Lafarge.
Mnamo 1971, Rene Haller aligeuza sehemu ya simiti iliyochanganyika na madini mengine kuwa bustani ya Bustani Haller. [2]
Bamburi inaweza kufikika kwa njia ya basi au matatu kutoka Kisiwa cha Mombasa, leni ya kuelekea Mtwapa au Malindi[3].
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bamburi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |