Katika masimulizi ya Wagiriki alikuwa mwana wa Iapetos na Asia, binti Okeanos. Baada ya vita ya Watitani dhidi ya miungu Waolimpo Atlas alipewa adhabu ya kusimama kwenye kona ya magharibi ya Dunia na kumbeba Urano, yaani anga. Hivyo Zeu alitaka kuzuia Urano (anga) kukutana tena na Gaia (Dunia, ardhi) na kuzaa.
Tangu kuunganishwa na Afrika ya Kaskazini-Magharibi, Atlas aliendelea katika masimulizi mengine ya Waroma wa Kale kuwa mfalme wa Mauretania aliyesifiwa kwa elimu na hekima yake.
Mwanajiografia Gerardus Mercator alikusanya ramani nyingi katika kitabu kimoja akaita mkusanyo huo kwa heshima ya huyo mfalme "Atlas" na tangu hapo jina la atlasi linapatikana hadi leo kwa kitabu cha ramani.
Akerman, J. R. (1994). "Atlas, la genèse d'un titre". Katika Watelet, M. (mhr.). Gerardi Mercatoris, Atlas Europae. Antwerp: Bibliothèque des Amis du Fonds Mercator. ku. 15–29. ((cite book)): Invalid |ref=harv (help)
Diodorus Siculus (1933–67). Oldfather, C. H.; Sherman, C. L.; Welles, C. B.; Geer, R. M.; Walton, F. R. (whr.). Diodorus of Sicily : The Library of History. 12 Vols (toleo la 2004). Cambridge, Mass.: Harvard University Press.
Keuning, J. (1947). "The History of an Atlas: Mercator. Hondius". Imago Mundi. 4 (1): 37–62. doi:10.1080/03085694708591880. JSTOR 1149747. ((cite journal)): Invalid |ref=harv (help)
Apollodorus, Apollodorus, The Library, with an English Translation by Sir James George Frazer, F.B.A., F.R.S. in 2 Volumes. Cambridge, Massachusetts, Harvard University Press; London, William Heinemann Ltd. 1921. Online version at the Perseus Digital Library.
Robert Graves, The Greek Myths, London: Penguin, 1955; Baltimore: Penguin. ISBN 0-14-001026-2
Hesiod, Theogony, in The Homeric Hymns and Homerica with an English Translation by Hugh G. Evelyn-White, Cambridge, Massachusetts., Harvard University Press; London, William Heinemann Ltd. 1914. Online version at the Perseus Digital Library.
Hesiod; Works and Days, in The Homeric Hymns and Homerica with an English Translation by Hugh G. Evelyn-White, Cambridge, Massachusetts., Harvard University Press; London, William Heinemann Ltd. 1914. Online version at the Perseus Digital Library.
Smith, William; Dictionary of Greek and Roman Biography and Mythology, London (1873). "Atlas"
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.