Ziwa Logipi ni kati ya maziwa ya Kenya, likiwa kaskazini mwa bonde la Suguta (katika Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki, kaunti ya Turkana).
Ni ziwa la chumvi lenye ukubwa wa km 6 x 3 na kina cha mita 3 hadi 5.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ziwa Logipi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |