0°38′N 36°05′E / 0.633°N 36.083°ECoordinates: 0°38′N 36°05′E / 0.633°N 36.083°E Ziwa Baringo linapatikana katika Bonde la Ufa, kaskazini mwa Kenya, lina eneo la km2 130, na liko mita 970 juu ya usawa wa bahari.
Linalishwa na mito mbalimbali, ikiwemo mto Molo, mto Perkerra na mto Ol Arabel, lakini halina mito inayotoka.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ziwa Baringo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |