Prosdosimi (alifariki karne ya 2 hivi) alikuwa Mkristo mwenye asili ya Ugiriki ambaye anatajwa kama askofu wa kwanza wa Padua, Italia Kaskazini[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |