Ukurasa mama: Majadiliano ya mtumiaji:Kipala
Vyombo vya habari ni muhimili muhimu katika nchi ya Tanzania kutokana na utoaji wake wa taarifa kwa umma.
Kabla hatujazama kwa kina zaidi kuangalia masuala mbalimbali kuhusu vyombo vya habari vya binafsi nchini Tanzania tuangazie sheria mbalimbali
Sekta ya Habari na Utangazaji ni moja ya sekta za huduma za jamii nchini. Sekta hii inatoa huduma ambayo ni haki ya msingi ya raia kama inavyotamkwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Ibara ya 18 ya Katiba inasema: (1)Kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati. (2)Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbali mbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii. Aidha, kutoa na kupokea habari kunatambuliwa duniani kote kuwa ni moja ya haki za binadamu.
Umoja wa Mataifa, na Umoja wa Afrika zina matamko rasmi ambayo serikali imeridhia kuhusu haki ya kupokea na kutoa habari. Haki hii, kama zilivyo haki nyingine zote, hutolewa kwa kuzingatia wajibu wa kila raia kwa jamii na uhuru binafsi wa binadamu. Dhima ya Sekta ya Habari na Utangazaji katika jamii ni kutoa habari, kuelimisha na kuburudisha.
Sekta hii inahudumiwa na vyombo vya habari ambavyo ni redio, magazeti, majarida, televisheni, filamu, video, intaneti, picha, vipeperushi, katuni na mabango. Maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano yamerahisisha upataji na utoaji habari.
Sekta hii imekua sana tokea Sera ya Habari na Utangazaji ilipotolewa mara ya kwanza mwaka 1993. Idadi ya magazeti ya kila siku imeongezeka kutoka mawili (2) mwaka 1992 hadi kumi na mbili (12) Januari, 2003.
Aidha, idadi ya magazeti ya kila wiki imeongezeka kutoka matano mwaka 1992 hadi 30 mwezi Januari, 2003. Kadhalika idadi ya vituo vya redio Tanzania Bara imeongezeka kutoka kimoja mwaka 1992 hadi 30 mwezi Januari, 2003.
Tanzania Bara hivi sasa ina vituo vya televisheni zaidi ya 30 ikiwemo Televisheni ya Taifa (TVT) iliyoanzishwa mwaka 2000. Wakati Sera inatolewa mwaka 1993, kulikuwa hakuna hata kituo kimoja. Aidha, idadi ya vyuo vyauandishi wa habari imeongezeka kutoka viwili mwaka 1993 hadi vinane mwezi Januari,2003. Viwili kati ya vyuo hivyo ni vyuo vikuu.Vilevile, Tume ya Utangazaji Tanzania ilianzishwa mwaka 1993 kusimamia Sekta ya Utangazaji na baadaye, mwaka 2003, iliunganishwa na Tume ya Mawasiliano kuanzisha Tume ya Usimamizi wa Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Asilimia kubwa ya magazeti na machapisho mengine husomwa zaidi mijini ambako usambazaji ni rahisi, na kiwango cha kujua kusoma na kuandika ni kikubwa. Baadhi ya Serikali za Mitaa na Halmashauri za Wilaya na Miji zimeanzisha vituo vya televisheni ambavyo hugharamiwa na halmashauri hizo. Aidha yapo magazeti na majarida yatolewayo na Asasi Zisizokuwa za Kiserikali na mashirika ya dini, ambayo mara nyingi hugharamia vyombo vyao vya habari.
Intaneti imeanza kuingia kwa nguvu nchini, na miji mingi sasa ina huduma hiyo. Hadi Desemba, 2002, kulikuwa na makampuni 21 ya huduma za intaneti (Dar es Salaam19, Arusha 1 na Mwanza 1). Idara za serikali, mashirika, na asasi za aina zote zinajitahidi kuwa na tovuti zao, ili wananchi wapate habari za vyombo hivyo kupitia mtandao huo wa kompyuta.
Tasnia ya habari ina vyama vya aina nyingi vilivyoundwa na wanahabari wenyewe. Kuna vyama vya kitaaluma, vyama vya kutetea maslahi na hali bora, kulinda maadili na uhuru wa vyombo vya habari, vyama vya kuendeleza maslahi ya wanahabari wanawake na kadhalika.
Aidha, zipo klabu za waandishi wa habari katika mikoa mingi. Hadi kufikia Desemba, 2002 mikoa 18 ilikuwa na klabu za waandishi wa habari, ambazo, licha ya kuratibu masuala ya taaluma ya habari katika mikoa, pia zinachangia katika kuhamasisha maendeleo ya wananchi.
Serikali ina Idara ya Habari (MAELEZO), ambayo wajibu wake umeainishwa katika Kanuni ya Kudumu C.16, na Sheria iliyofuta SHIHATA Na. 7 ya Mwaka 2000. Idara hii ina ofisi katika baadhi ya mikoa ya Tanzania Bara. Aidha, Wizara zote zimeteua maofisa watakaoshughulikia habari, elimu na mawasiliano.
Kuwapo kwa maofisa hao katika wizara na asasi, mashirika na makampuni mbalimbali huleta uhusiano mzuri katiya watoaji na watumiaji wa huduma hizo.Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika Sekta ya Habari na Utangazaji, utoaji wa huduma katika sekta umekuwa si wa kuridhisha kutokana na sababu mbalimbali.
Kipala salaam. Ni sasa tu nikiona kwamba liko kosa la tafsiri katika fremu ya kushoto. Wingi wa -ingine kwa n-class si "zingine" lakini "nyingine" (tazama "Lugha zingine"). ChriKo (majadiliano) 22:58, 7 Januari 2013 (UTC)
Hi, sorry for writing in English. I'm writing to ask you, as a bureaucrat of this wiki, to translate and review the notification that will be sent to all users, also on this wiki, who will be forced to change their user name on May 27 and will probably need your help with renames. You may also want to help with the pages m:Rename practices and m:Global rename policy. Thank you, Nemo 17:15, 3 Mei 2013 (UTC)
Hi, sorry for writing in English. I'm writing to ask you, as a bureaucrat of this wiki, to translate and review the notification that will be sent to all users, also on this wiki, who will be forced to change their user name on May 27 and will probably need your help with renames. You may also want to help with the pages m:Rename practices and m:Global rename policy. Thank you, Nemo 17:15, 3 Mei 2013 (UTC)
Hi, sorry for writing in English. I'm writing to ask you, as a bureaucrat of this wiki, to translate and review the notification that will be sent to all users, also on this wiki, who will be forced to change their user name on May 27 and will probably need your help with renames. You may also want to help with the pages m:Rename practices and m:Global rename policy. Thank you, Nemo 17:15, 3 Mei 2013 (UTC)
Hi, sorry for writing in English. I'm writing to ask you, as a bureaucrat of this wiki, to translate and review the notification that will be sent to all users, also on this wiki, who will be forced to change their user name on May 27 and will probably need your help with renames. You may also want to help with the pages m:Rename practices and m:Global rename policy. Thank you, Nemo 17:15, 3 Mei 2013 (UTC)
Hi Kipala. Sorry to write you in English, but translating this into Swahili would take me a bit long. I have a problem with a new template I created. I modelled it on Kigezo:Uainishaji. It seems to be working except for the fact that when employed in an article, e.g. Radio France Internationale, the main text is included in the infobox. I have stared at it for a long time and counted the braces (curly brackets) many times. I still don't understand what is going on. Can you please have a look at it? Thanks. ChriKo (majadiliano) 22:25, 1 Septemba 2013 (UTC)
Haya nimeanzisha kigezo kipya kigezo:rediotv kwenye msingi wa kigezo:mto inafanya kazi. Inahitaji masahihisho lakini sasa naenda kulala. Kipala (majadiliano) 21:03, 14 Septemba 2013 (UTC)
Thank you Kipala for your Welcome!--Angler45 (majadiliano) 18:14, 29 Oktoba 2013 (UTC)
Hi, dear Kipala, how are you? Thanks a lot for you welcome message!
I made only two pages, and I ask your help to correct them, because I'm not Kiswahili native speaker. Please...
Caselle Landi is the small village where I live, and it's near the Po. Please, I ask your help also for the future, if you want. I'll translate or make new pages in Italian or Portuguese for you!
Thanks a lot, my new friend!
Rei Momo (majadiliano) 22:53, 30 Oktoba 2013 (UTC)
Hi Kipala, I'm here to ask again your help, if you have 20 minutes for me. Can you make a new Kiswahili page for me? I can help you to make a new page in Italian or Portuguese Wikipedia. Thank a lot for your reply. Sincerely Rei Momo (majadiliano) 23:36, 3 Novemba 2013 (UTC)
Salaam, mzee wangu. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 12:24, 4 Novemba 2013 (UTC)
Salaam, Kipala. Ndugu, nimekutumia barua pepe. Tafadhali naomba utazame!--MwanaharakatiLonga 06:11, 6 Novemba 2013 (UTC)
Good morning Kipala,
It looks like muy talk page has recently been vadalized. Thank you for taking care of it. As I do not speak a single word of swahili, I would not even have been to understand able what was happening and why nor to do so. Thanksfully, the community is able to provide efficiently. Thanks again and friendly regards.
Hop ! [[Utilisateur:Kikuyu3|Kikuyu3]] [[Discussion utilisateur:Kikuyu3|Sous l'Arbre à palabres]] (majadiliano) 10:14, 7 Novemba 2013 (UTC)
Yes I would certainly be able to help. Where is the census data? Rich Farmbrough , 21:55, 17 Novemba 2013 (UTC).
Now another question: do you know where to change the menue items of a wikipedia edit window? when the new menue layout came somebody (who??) set this up for us and there are labels connected to icons which are not really understandable. And one icon for references disappeared. i have no idea where to look for it and whom to ask. --Kipala (majadiliano) 06:54, 18 Novemba 2013 (UTC)
Hallo Kipala, hast du Zeit, die Artikel aus der Löschkat (Jamii:Makala kwa ufutaji) zu entfernen? Danke --Kolja21 (majadiliano) 13:43, 19 Novemba 2013 (UTC)
Hey Kipala
Would be interested to hear from your perspective what you feel went wrong with the Google translation project? We are hoping that the work we are doing in collaboration with Translator Without Borders will be positive for all involved. Further details can be seen here [1] James Heilman, MD (talk · contribs · email)(please leave replies on my talk page) 05:11, 28 Novemba 2013 (UTC)
Hello. Could you please change my username?
Thanks for moving my user page. However I want to change my user name to rxy. It should use Special:RenameUser. Regards,--Hosiryuhosi (majadiliano) 12:34, 19 Machi 2014 (UTC)
Hello Sir. My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.
The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.
As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.
This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.
Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.
Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.
my contact is rexford@wikiafrica.net
Thanks for your message. I wanted to say: "Yaba Angelosi (born in South Sudan) is a singer, musician and a music producer living in the the United States. He also runs his own studio and production house "Assida Records / Assida Productions". "
Could you please correct the text in Swahili accordingly? I simply don't known Swahili and would depend on your help. Many thanks for your interest. Werldwayd (majadiliano) 11:42, 11 Aprili 2014 (UTC)
Mpendwa Kipala. Uliona jibu langu (Majadiliano_ya_mtumiaji:ChriKo#Naomba ushirikiano wako!)? ChriKo (majadiliano) 21:06, 18 Mei 2014 (UTC)
Yeah, uhakika. Pia mimi aliongeza. [2]. Best upande --Cekli829 (majadiliano) 05:21, 20 Mei 2014 (UTC)
Salaam, Kipala. Nilivyoandika kwenye ukurasa wa Wakabidhi, nimefurahi sana kuwa Ndg Malangali amerudi kwetu. Sasa ungeweza kutafakari kura yako tena kuhusu kumwondolea haki au la. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 07:27, 20 Mei 2014 (UTC)
Why was this useful book page deleted without any discussion?
Varlaam (majadiliano) 01:27, 22 Mei 2014 (UTC)
Habari yako, Ndg Kipala? Je, bado unahitaji ukurasa huo au inawezekana kuufuta? Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 05:03, 12 Juni 2014 (UTC)
Dear Kipala, My aplogies for writing in English. Please translate or have this translated for you if it will help. I am cross-posting this message to many places to make sure everyone who is a Wikimedia Foundation project bureaucrat receives a copy. If you are a bureaucrat on more than one wiki, you will receive this message on each wiki where you are a bureaucrat.
As you may have seen, work to perform the Wikimedia cluster-wide single-user login finalisation (SUL finalisation) is taking place. This may potentially effect your work as a local bureaucrat, so please read this message carefully.
Why is this happening? As currently stated at the global rename policy, a global account is a name linked to a single user across all Wikimedia wikis, with local accounts unified into a global collection. Previously, the only way to rename a unified user was to individually rename every local account. This was an extremely difficult and time-consuming task, both for stewards and for the users who had to initiate discussions with local bureaucrats (who perform local renames to date) on every wiki with available bureaucrats. The process took a very long time, since it's difficult to coordinate crosswiki renames among the projects and bureaucrats involved in individual projects.
The SUL finalisation will be taking place in stages, and one of the first stages will be to turn off Special:RenameUser locally. This needs to be done as soon as possible, on advice and input from Stewards and engineers for the project, so that no more accounts that are unified globally are broken by a local rename to usurp the global account name. Once this is done, the process of global name unification can begin. The date that has been chosen to turn off local renaming and shift over to entirely global renaming is 15 September 2014, or three weeks time from now. In place of local renames is a new tool, hosted on Meta, that allows for global renames on all wikis where the name is not registered will be deployed.
Your help is greatly needed during this process and going forward in the future if, as a bureaucrat, renaming users is something that you do or have an interest in participating in. The Wikimedia Stewards have set up, and are in charge of, a new community usergroup on Meta in order to share knowledge and work together on renaming accounts globally, called Global renamers. Stewards are in the process of creating documentation to help global renamers to get used to and learn more about global accounts and tools and Meta in general as well as the application format. As transparency is a valuable thing in our movement, the Stewards would like to have at least a brief public application period. If you are an experienced renamer as a local bureaucrat, the process of becoming a part of this group could take as little as 24 hours to complete. You, as a bureaucrat, should be able to apply for the global renamer right on Meta by the requests for global permissions page on 1 September, a week from now.
In the meantime please update your local page where users request renames to reflect this move to global renaming, and if there is a rename request and the user has edited more than one wiki with the name, please send them to the request page for a global rename.
Stewards greatly appreciate the trust local communities have in you and want to make this transition as easy as possible so that the two groups can start working together to ensure everyone has a unique login identity across Wikimedia projects. Completing this project will allow for long-desired universal tools like a global watchlist, global notifications and many, many more features to make work easier.
If you have any questions, comments or concerns about the SUL finalisation, read over the Help:Unified login page on Meta and leave a note on the talk page there, or on the talk page for global renamers. You can also contact me on my talk page on meta if you would like. I'm working as a bridge between Wikimedia Foundation Engineering and Product Development, Wikimedia Stewards, and you to assure that SUL finalisation goes as smoothly as possible; this is a community-driven process and I encourage you to work with the Stewards for our communities.
Thank you for your time. -- Keegan (WMF) talk 18:24, 25 Agosti 2014 (UTC)
--This message was sent using MassMessage. Was there an error? Report it!
Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on MediaWiki talk:Licenses and the village pump. Thanks, Nemo 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)
Hello, I inform you that you're wrong on this revert, the phrase introduced by the IP is distorted and therefore is false; true sentence says exactly the opposite. Greetings.--Syum90 (majadiliano) 18:58, 15 Novemba 2014 (UTC)
Hello! Could you translate an article about boycott of Russian goods in Ukraine for the Swahili Wikipedia? Thanks for the help.--Trydence (majadiliano) 19:27, 23 Novemba 2014 (UTC)
Asante sana Kipala vipi upo Iran au upo wapi natumaini upo salama lakini kama ungekuwa Dar es salaam ningekualika angalau uje kwenye semina mojawapo, ManawaElimu kwanza 06: 15, 11 December 2014 (UTC)
Hi Kipala. Is really nice to meet you! I'm not the author of any Wikipedia logo. Perhaps there is a mistake because I've done some images to illustrate an article about Wikipedia's logos. Buy, anyway: the font used to write "Wikipedia, the free encyclopedia" es Linux Libertine, BUT... the "W" must be wrote with Hoefler text.
You can find detailed instructions about how to make the Wikipedia logo here (Word mark creation).
Hope my advice was useful for you. Kind regards. Kipala. Hakuna matata. Pepe.--Roblespepe 23:50, 6 Februari 2015 (UTC)
Hi there! You have messages here. Best, --Elitre (WMF) (majadiliano) 16:11, 16 Machi 2015 (UTC)
Naona muswada wako unaendelea vizuri. Napendekeza uongeze kwamba walishiriki pia walimu 2 wa chuo kikuu. Pia ufute swali kuhusu inveta na betri zetu: ilikuwa na uwezo wa kutoa umeme kwa saa nyingi. Mbali ya hayo, nimepitia kidogo kitabu chako cha Historia ya Kanisa. Hujawaza kutumia sehemu zake kwa ajili ya Wikipedia? Au kuna suala la hakimiliki? Pasaka njema! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 09:32, 3 Aprili 2015 (UTC)
Habari! kipala mimi ni mmoja wa wanawarsha ambayo ilifanyika morogoro kwahiyo nimejifunza mambo mengi kuhusu Wikipedia hasa ya Kiswahili kwahiyo mzee kipala nimekufahamu kupitia warsha iliyofanyika Morogoro. Asante!Enock John (majadiliano) 17:00, 6 Aprili 2015 (UTC)
Ndugu Kipala, kuna makala nimetunga, lakini kumbe yapo mengine (ijapokuwa ile yangu imetanuka zaidi). Tafadhali tupieni jicho hapo: Majadiliano:Uislamu nchi kwa nchi.. Kisha fanyeni uamuzi.--MwanaharakatiLonga 19:05, 15 Aprili 2015 (UTC)
Ndugu, nadhani bila kukusudia umefuta mabadilisho niliyokufanyia katika mada hii. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 15:31, 18 Aprili 2015 (UTC)
Hi. Please delete Kigezo:Link GA the same way you deleted Link FA so that we finish the task. Thanks, Magioladitis (majadiliano) 13:28, 22 Aprili 2015 (UTC)
Hello, Kipala! Thanks a lot for your message and comments.
Although not used all the time, these links and changes ([3] [[Société Générale|Societe Generale de Banques en Côte d'Ivoire]] --> [[Société Générale|Société Générale de Banques en Côte d'Ivoire]], [4]: Saint-Etienne --> Saint-Étienne) prove that French spelling is not unknown on swWP. Nevertheless, this could be an exception to the rule, considering what you wrote about "the average East African user".
That is why, only if you approve, I am willing to redirect those red links I have changed according to the French spelling ([5], [6], [7], [8], [9], [10]) — the rest of the changes did not affect links: proper names that remained "blue-linked" ([11], [12], [13], [14], [15], [16], [17]), or were already red links ([18], [19]), non-linked proper names ([20], [21]) external links ([22]) and references ([23]).
Thanks a lot for reading this message. Best wishes!--Alpinu (majadiliano) 21:33, 2 Mei 2015 (UTC)
Salaam. Haya, nimesawazisha tayari. Lakini mzee wangu unawaza sana. Dawa yake ndogo mno. Ni kunakili maelezo makala mengine ambayao tayari yamo kwenye orodha na kuyachukua kama mfano tu, kisha unasongesha! Halafu unarudi kwenye Wikipedia:Makala ya wiki na kuongeza idadi. Pole sana.. Nimeiona FIFA. Ngoja nitazame tena.--MwanaharakatiLonga 08:35, 29 Mei 2015 (UTC)
Ndugu Kipala, salaam. Nimeanza kuchoka na Silausi alivyochoka pia Ndg Muddyb. Huyo Silausi akiendelea kubadilisha makala bila kufuata mashauri yetu na kanuni za Wikipedia:Umaarufu, nitamzuia kwa muda kadhaa. Bahati mbaya inaonekana kama ataanzisha akaunti nyingine tena alivyofanya baada ya kuzuiliwa kama Mtumiaji:Lusajo Chicharito Brown. Unaonaje? Wasalaam, Baba Tabita (majadiliano) 16:41, 29 Juni 2015 (UTC)
Sina muda mwingi siku hizi, samahani. Sijui kama itasaidia kufuta makala zake kadhaa; machoni pangu ni sawa kumpa muda wa siku 3 kujibu swali kuhusu umaarufu au kusahihisha halafu kufuta kama umbo ni tatizo. Kama hachoki naona a) kumwonya tena asianzishe kitu tena bila kuwasiliana, b) kwenda juu (sina uhakika kwa nani) na kumwomba steward kumfunga . Lakini labda rahisi zaidi kumpa muda halafu kufuta makala kadhaa na kuona kama anachika badala kuingia kwanza katika majadiliano marefu na masteward. Kipala (majadiliano) 18:51, 29 Juni 2015 (UTC)
Kipala vipi ndugu yangu..samahani kwa makosa yangu sikuwa nimesoma wikipedia mwongozo..bado najifunza.Maneno mengine ni vigumu kupata tafsiri yake hapo ndo natumia google translate lakini kwa neno moja moja tu...tuzidi kusaidiana. 178.156.230.129 13:00, 23 Julai 2015 (UTC)
Ningekushukuru ikiwa unaweza kuzaidia kurekebisha ukurasa wa Botswana. Niliwahi kujaribu kuongeza information walakini nikawa kufanya makosa na sahisi ukurasa huo huonekani vizuri. Nakushukuru. 178.156.230.129 13:00, 23 Julai 2015 (UTC)
Ndugu, hongera kwako na kwa wenzetu wengine kwa kuchangia kufanya Kiswahili kuwa lugha ya Afrika yenye kurasa nyingi zaidi! Tumepiku Afrikaans! Tuendelee hivi kukuza lugha yetu! 178.156.230.129 13:00, 23 Julai 2015 (UTC)
Nimeongeza pendekezo lingine kwenye makala ya Uingereza, na kutoa mawazo kwenye ukurasa wa majadiliano. Ni kweli kwamba hii si jambo rahisi! 178.156.230.129 13:00, 23 Julai 2015 (UTC)
Salaam kutoka Ulaya. Nimejaribu kuongeza kigezo cha jaribio kama nilivyoeleza kwenye ukurasa wa jumuia. Sijapata 'feedback' kwa hiyo siwezi kumaliza shughuli. Umewahi kutoa mawazo kuhusu mada hii kwa hiyo nimeona vyema nikuulize unisaidie kwa kutoa mawazo tena. 178.156.230.129 13:00, 23 Julai 2015 (UTC)
Hello everyone!
I believe it was about time I told everyone in the world about myself. My name is Lukas Pietsch and I specialise in English Linguistics. Instead of spending my time conducting research, I edit wikipedia articles all day (sometimes even a hundred of them a day)! I am a wikipedia administrator and I go by the user name Future Perfect at Sunrise. I am very interested in Balkan politics, so I often argue against the use of scholarly sources, misquote other people's work and misrepresent historical facts in order to push my view in wikipedia. That is so cool! I honestly feel that I should never have been born a German as my heart trully lies with the former Yugoslav Republic of Macedonia. I even find myself arguing that the ancient kingdom of Macedonia was never Greek!
Here is a link to my facebook account in case you want to check out more:
http://www.facebook.com/lukas.pietsch
Yours truthfully,
Lukas Pietsch
PS: Peace out to the suckers funding my research! I bet you had no idea of how I've been using the time you've been paying me for!
PPS: I am including links to my university and wikipedia websites: http://freenet-homepage.de/LukasPietsch/ http://en.wikipedia.org/wiki/User:Future_Perfect_at_Sunrise
Muddyb na Kipala, salaam. Nawaandikia tena kuhusu rafiki yetu Mjanja. Ameanzisha makala nyingi kuhusu mamalia ambao hawatokei Afrika. Pengine naweza kukubali majina anayotumia, lakini kuna mengine ambayo ameyabuni kabisa au anayatumia kwa njia mbaya. Sidhani ni mzuri kama msemaji asiye mwenyeji anabuni majina mapya. Tafadhali hii ifanywe na wataalamu wa kienyeji. Majina nisiyoyakubali ni yafuatayo:
Mnajua wataalamu (wanazoolojia) ambao watakubali kubuni majina ya wanyama haya kwa Kiswahili? Zamani nimeandikia wanazoolojia katika Tanzania na Kenya, lakini hakuna mtu aliyejibu. 107.167.91.251 15:56, 7 Agosti 2015 (UTC)
Kuhusu kuingiza habari za miaka ya ubunge kwa kila mbunge: Inaonekana ni lazima kutumia tovuti rasmi ya Bunge la Tanzania. Sasa, sioni njia kuingiza habari hizo moja kwa moja - au una wazo lingine? Wasalaam 162.213.252.44 18:32, 8 Agosti 2015 (UTC)
Kipala salam, wenzenu huku mjini Dar es Salaam na baadhi ya mikoa ya Tanzania tuna hali mbaya vibaya mno. Kuna mvua inaendelea kunyesha kwa kasi ya ajabu na mafuriko hadi sasa yauwa na kuharibu majumba kibao hakuna mfano. Chakusikitisha, bado haijasimama. Inaendelea kuleta ladha ya vifo kwa wakazi wa Tanzania. Mtuombeee huko!!!! Wenu! 131.103.139.76 07:46, 17 Agosti 2015 (UTC)
Kipala salam, wenzenu huku mjini Dar es Salaam na baadhi ya mikoa ya Tanzania tuna hali mbaya vibaya mno. Kuna mvua inaendelea kunyesha kwa kasi ya ajabu na mafuriko hadi sasa yauwa na kuharibu majumba kibao hakuna mfano. Chakusikitisha, bado haijasimama. Inaendelea kuleta ladha ya vifo kwa wakazi wa Tanzania. Mtuombeee huko!!!! Wenu! 131.103.139.76 07:46, 17 Agosti 2015 (UTC)
Salaam, ahsante kwa juhudi zako kwenye sw.wiki. Endelea vivyo hivyo! 131.103.139.76 07:54, 17 Agosti 2015 (UTC)
Salaam Kipala,
There is discussion again about allowing IP users to create articles. This was blocked for 6 months, but it is only temporary. Your comments would be welcome.
Previous discussion on the Jumuia.
Sj + 02:45, 10 Septemba 2015 (UTC)
Ndugu zangu, hongera ninyi nyote kwa kufikia makala 30,000, kazi nzuri! Mlifanya mbio za nyika kweli. Nilisafiri kwa hivyo sikuiona sasa hivi. Tuendelee mpaka hatua ijayo: 40,000. ChriKo (majadiliano) 17:46, 24 Septemba 2015 (UTC)
Could you please have a look at [24]. If the translator doesn't fix it, we need to change the captions for the infobox and do general clean-up. Lucas559 (majadiliano) 16:00, 30 Septemba 2015 (UTC)
Hi, I really don't see the need to make a distinction between this article and NSDAP. There are no other languages that make that distinction, so why do it here? All that's needed is to make it a redirect and put in one line in the NSDAP article about the name. Jon Harald Søby (majadiliano) 05:01, 14 Oktoba 2015 (UTC)