Kasiani wa Tanja alikuwa Mkristo wa Moroko aliyefia dini yake kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano. Tarehe inayotajwa na mapokeo ni 3 Desemba 298[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |