Historia ya Ufini inahusu eneo ambalo siku hizi linaunda Jamhuri ya Ufini.
Ufini ulikaliwa na watu tangu ilipokwisha enzi ya barafu ya mwisho, miaka 9000 KK hivi.[1] Wakazi wa kwanza walikuwa wawindaji-wakusanyaji ambao walitumia vifaa vya mawe vinavyofanana na vile vya Estonia, Russia na Norway.
Labda kilimo kilianza miaka 3000 KK - 2500 KK.[2]
Mwishoni mwa karne ya 13 Ufini ukawa sehemu ya Sweden hadi mwaka 1809, ilipomezwa na Dola la Russia kama ufalme mdogo wenye kujitawala kwa kiasi fulani.
Mwaka 1906, Ufini ulikuwa nchi ya kwanza duniani kuwapa wananchi wote wenye umri wa utu uzima haki ya kugombea vyeo vya serikali.[3][4]
Mwaka 1917, baada ya Mapinduzi ya Russia, Ufini ulijitangaza huru na mwaka uliofuata ukawa jamhuri baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Wakati wa vita vikuu vya pili, Muungano wa Kisovyeti ulijitahidi kuteka Ufini wote, ukaishia kutwaa Karelia, Salla, Kuusamo, Petsamo na visiwa kadhaa tu.
Baada ya vita Ufini uliacha kutegemea kilimo ukajitosa katika uchumi wa viwanda[5] hata kufikia kuwa kati ya nchi zilizoendelea zaidi[6][7][8][9][10][11][12].
Mwaka 1955 Ufini ulijiunga na Umoja wa Mataifa ukichagua siasa ya kutoambatana na upande wowote.
Mwaka 1995 ulijiunga na Umoja wa Ulaya na mwaka 1999 ulikubali kutumia euro.
((cite book))
: CS1 maint: multiple names: authors list (link)
((cite book))
: CS1 maint: multiple names: authors list (link)
((cite web))
: CS1 maint: date auto-translated (link)
((cite web))
: CS1 maint: date auto-translated (link)
((cite web))
: CS1 maint: date auto-translated (link)
((cite web))
: Unknown parameter |deadurl=
ignored (|url-status=
suggested) (help)
((cite web))
: Unknown parameter |deadurl=
ignored (|url-status=
suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
((cite web))
: CS1 maint: date auto-translated (link)
((cite web))
: Unknown parameter |deadurl=
ignored (|url-status=
suggested) (help)
Historia ya Ulaya | |
---|---|
Nchi huru | Albania · Andorra · Armenia1 · Austria · Azerbaijan1 · Belarusi · Bosnia na Herzegovina · Bulgaria · Udeni · Estonia · Georgia1 · Hispania · Hungaria · Isilandi · Eire · Italia · Kazakhstan2 · Kroatia · Kupro1 · Latvia · Liechtenstein · Lituanya · Luxemburg · Malta · Masedonia Kaskazini · Moldova · Monako · Montenegro · Norwei · Polandi · Romania · San Marino · Serbia · Slovakia · Slovenia · Ubelgiji · Ucheki · Ufalme wa Muungano · Ufaransa · Ufini · Ugiriki · Uholanzi · Ujerumani · Ukraine · Ureno · Urusi2 · Uswidi · Uswisi · Uturuki2
|
Nchi zisizokubaliwa na umma wa kimataifa | Abkhazia1 · Kosovo · Kupro ya Kaskazini1 · Ossetia ya Kusini1 · Transnistria |
Maeneo yanayojitawala chini ya nchi nyingine | Akrotiri na Dhekelia1 · Åland · Azori · Faroe · Gibraltar · Guernsey · Jan Mayen · Jersey · Madeira · Man · Svalbard |
1 nchi ya Asia ya Magharibi kijiografia ambayo huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya kiutamaduni 2 nchi ya kimabara |
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Ufini kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |