Aurea wa Paris (Syria, karne ya 7[1]; Paris, leo nchini Ufaransa, 4 Oktoba 666[2][3][4]) alikuwa abesi wa kwanza wa monasteri ya mabikira 300 iliyofuata kanuni ya Mt. Kolumbani huko Paris.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |