Ugonjwa wa corona uliletwa Tanzania kutoka Ubelgiji tarehe 15 Machi 2020. Msafiri aliyeleta virusi vya ugonjwa huo ni mwananchi aliyefika Arusha na ambaye baadaye alipona.
Tarehe 31 Machi 2020 Mtanzania wa kwanza alifariki huko Dar es Salaam. Waliobaki na virusi ni watu 17 kwa mujibu wa Waziri wa Afya[1].
Kufikia tarehe 19 Aprili 2020 walioambukizwa walifikia 170 na kati yao 7 wameshafariki dunia.
Dalili ya virusi ya corona ni
Tabia nzuri ili usipate virusi ya corona au usiambukize wengine ni
Tabia hizo zinafanana na za Shirika la Afya Duniani
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ugonjwa wa corona Tanzania 2020 kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |