Telangana ni jimbo la 29 la jamhuri ya India, likiwa limeundwa rasmi tarehe 2 Juni 2014 kwa kutengana na Andhra Pradesh.
Kwa sasa ni la 12 kwa eneo na kwa idadi ya watu: kilometa mraba 114,840 na wakazi 35,193,978 (sensa ya mwaka 2011).
Makao makuu ni Hyderabad.
.
. https://archive.org/details/sim_journal-of-asian-studies_1971-05_30_3/page/569.
Maharashtra | Maharashtra and Chhattisgarh | Andhra Pradesh | ||
Karnataka | Andhra Pradesh | |||
Telangana | ||||
Karnataka | Andhra Pradesh | Andhra Pradesh |