Mhe. Selemani Jafo Mb | |
Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi,Muungano na Mazingira
| |
Aliingia ofisini 2017 | |
Rais | John Magufuli |
---|---|
Mbunge wa Kisarawe
| |
Aliingia ofisini 2015 | |
tarehe ya kuzaliwa | 26 Mei 1973 |
utaifa | Mtanzania |
chama | CCM |
Selemani Said Jafo (amezaliwa 26 Mei 1973) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kisarawe kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Mwaka 2017 alipewa cheo cha waziri katika Ofisi ya Rais kwa ajili ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)[2]. Mnamo tarehe 31 Machi 2021, aliteuliwa na raisi Mama Samia Suluhu Hassan kuwa waziri katika wizara ya ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na mazingira [3] Ameoa wake wanne (4) na wote wako hai.
Selemani Said Jafo alipata Elimu yake katika shule zifuatazo[4]
Mwaka wa kuanza | Mwaka wa kumaliza | Jina la shule | Ngazi ya Elimu |
---|---|---|---|
2005 | 2007 | Southern New Hampshire University | Shahada ya Uzamili |
1998 | 2001 | Chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine | Shahada ya kwanza |
1995 | 1997 | Shule ya Sekondari ya Minaki | Elimu ya Sekondari |
1991 | 1994 | Shule ya Sekondari ya Maneromango | Elimu ya Sekondari |
1984 | 1990 | Shule ya Msingi ya Kwala | Elimu ya Msingi |