Ronald Gideon Ngala (1923–1972) alikuwa mwanasiasa wa Kenya ambaye alikuwa kiongozi wa chama cha siasa cha Kenya African Democratic Union tangu kuundwa kwake mwaka wa 1960 hadi kufutwa kwake mwaka wa 1964.[1]
Makala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |