Papa Kalisto I.

Papa Callixtus I alikuwa Papa kuanzia takriban 218 hadi kifodini chake takriban 222[1].

Alimfuata Papa Zefirino akafuatwa na Papa Urbano I.

Aliwahi kuwa mtumwa[2], lakini mwaka 199 Papa Zefirino alimfanya shemasi na mshauri wake mkuu.

Kisha kuchaguliwa kuwa Papa, kwa upole wake alifaulu kuvuta wafuasi wa uzushi na mafarakano mbalimbali, akifundisha kwamba Kanisa lina mamlaka ya kusamehe dhambi zote. [3][4] Kutokana na msimamo huo, inasemekana waliokuwa wakali zaidi walimchagua Hipoliti wa Roma kama antipapa wa kwanza.[5]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 14 Oktoba[6].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]
  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Fr. Paolo O. Pirlo, SHMI (1997). "St. Callistus I". My First Book of Saints. Sons of Holy Mary Immaculate - Quality Catholic Publications. uk. 240. ISBN 978-971-91595-4-4.
  3. Pagels, Elaine (1979). The Gnostic Gospels. Weidenfeld & Nicolson. uk. 108.
  4. Hippolytus. Refutation of all heresies. Book 9 Ch. 7.
  5. "Saint Hippolytus of Rome". Encyclopædia Britannica.
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Maandishi yake

[hariri | hariri chanzo]

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Pope Callixtus I
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.