Nguzo za Bunge la Ufini huko Helsinki.

Nguzo (kwa Kiingereza: column au pillar) ni sehemu ya jengo inayobeba uzito wa juu.

Katika Ukristo, Mtume Paulo alifananisha Kanisa na nguzo ya ukweli (1Tim 3:15).

Katika Uislamu, mambo matano yanahesabiwa kuwa nguzo zake.

Marejeo

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.