Mendard Lutengano Kigola (amezaliwa 10 Desemba 1969) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mufindi Kusini kwa miaka 2015 – 2020. [1]