Karagwe ni eneo la kihistoria ya Tanzania ya kaskazini magharibi upande wa magharibi wa Ziwa Viktoria Nyanza karibu na mpaka wa Burundi.
Sehemu kubwa ya eneo hili leo ni wilaya ya Karagwe katika Mkoa wa Kagera.
Kihistoria ilikuwa utemi au ufalme mdogo. Hakuna historia ya kimaandishi lakini watawala wake wanakumbukwa tangu karne ya 15.
Wapelelezi Wazungu wa karne ya 19 na wakoloni Wajerumani [1] walikuta eneo lililokaliwa na wakulima Wanyambo waliotawaliwa na wafugaji Wahima [2].
Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ikulu ya mtemi ilipatikana huko Bweranyange[3]
Wanyambo wa Karagwe walijua teknolojia ya kufuma si chuma tu, bali feleji pia.[4][5]
Watawala wa Karagwe walikuwa na cheo cha "Umugabe". Nasaba ilianzishwa mnamo mwaka 1450 na mtemi Ruhanda I aliyeitwa pia Bunyambo.
((cite web))
: Unknown parameter |=
ignored (help); Unknown parameter |https://web.archive.org/web/20121020145042/http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,912179,00.html?iid=
ignored (help)
Kata za Wilaya ya Karagwe - Mkoa wa Kagera - Tanzania | ||
---|---|---|
Bugene | Bweranyange | Chanika | Chonyonyo | Igurwa | Ihanda | Ihembe | Kamagambo | Kanoni | Kayanga | Kibondo | Kihanga | Kiruruma | Kituntu | Ndama | Nyabiyonza | Nyaishozi | Nyakabanga | Nyakahanga | Nyakakika | Nyakasimbi | Rugera | Rugu |