Justiniani I au Justiniani Mkuu (jina kamili kwa Kilatini: Flavius Petrus Sabbatius Iustinianus Augustus; kwa Kigiriki Φλάβιος Πέτρος Σαββάτιος Ἰουστινιανός, Flávios Pétros Sabbátios Ioustinianós; Tauresium, Dardania,[1] leo nchini Masedonia Kaskazini[2] takriban 482 - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 14 Novemba, 565) alikuwa kaisari wa Dola la Bizanti kuanzia mwaka wa 527 hadi kifo chake.
Justiniani alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika fahari yake ya zamani (renovatio imperii, yaani kufanya upya dola) na kwa ajili hiyo alipigania upande wa magharibi dhidi ya wavamizi. Hata hivyo alifaulu kiasi tu.[3]
Mke wake na malkia wa Bizanti aliitwa Theodora; aliaga dunia mwaka wa 548. Hawakuwa na watoto walioishi. Hivyo Justiniani I alifuatwa kama kaisari na mpwa wake Justin II.
Huheshimiwa na Wakristo Waorthodoksi na Walutheri kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba au 27 Novemba[4].
((cite book))
: Invalid |ref=harv
(help)((cite book))
: CS1 maint: location missing publisher (link)((cite book))
: Invalid |ref=harv
(help)((cite journal))
: |first=
has generic name (help)((cite book))
: |first=
has generic name (help)CS1 maint: location missing publisher (link)((cite book))
: CS1 maint: unrecognized language (link)((cite book))
: CS1 maint: location missing publisher (link) CS1 maint: unrecognized language (link)((cite book))
: CS1 maint: location missing publisher (link)((cite book))
: CS1 maint: location missing publisher (link) – German standard work; partially obsolete, but still useful.((cite book))
: CS1 maint: location missing publisher (link)((cite journal))
: Unknown parameter |editors=
ignored (|editor=
suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)![]() |
Wikisource has original text related to this article: |
![]() |
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Bizanti bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Justiniani I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |