Lolesia Jeremia Maselle Bukwimba (amezaliwa 24 Februari 1971) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Geita kwa mwaka 2015 – 2020. [1]