Hamida Mohamedi Abdallah (amezaliwa tarehe 28 Juni 1966) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalumu kwa miaka 2015 – 2020. [1] Mwaka 2020 alirudi bungeni kama mbunge wa Lindi Mjini.
Aliwahi kufanya kazi kama mtumishi wa Umoja wa Wanawake wa CCM na katika halmashauri ya Lindi kabla ya kuingia bungeni.[2]