Georg Wilhelm Friedrich Hegel (27 Agosti 1770 – 14 Novemba 1831) alikuwa mwanafalsafa wa Ujerumani aliyeathiri watu wengi katika karne ya 19 na karne ya 20.
Kati ya wanafunzi wake walikuwa Bauer, Stirner na Marx pia Sartre na Küng walichukua mengi kutoka kwake. Wengine waliompinga kama Kierkegaard, Schopenhauer, Nietzsche, Heidegger na Schelling waliathiriwa naye pia.