Eneo bunge la Mwingi Kaskazini ni moja kati ya majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika kaunti ya Kitui, Mashariki mwa Kenya, likiwa miongoni mwa majimbo mawili katika kaunti hiyo.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1997. Mbunge wake wa sasa Kalonzo Musyoka awali alikuwa akiliwakilisha jimbo la Kitui Kaskazini kabla ya jimbo hilo kutawanywa kabla ya uchaguzi wa 1997.
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1997 | Kalonzo Musyoka | KANU | |
2002 | Kalonzo Musyoka | NARC | |
2007 | Kalonzo Musyoka | ODM-Kenya |
Kata | |
Kata | Idadi ya Watu* |
---|---|
Endui | 7,774 |
Kakuyu | 21,033 |
Kamuwongo | 7,825 |
Kanthungu | 5,889 |
Kanzanzu | 6,639 |
Katse | 7,516 |
Kimangao | 12,372 |
Kyuso | 11,343 |
Mitamisyi | 5,958 |
Mivukoni | 9,001 |
Musavani | 9,074 |
Musyungwa | 8,279 |
Mutanda | 4,114 |
Mwingi | 37,833 |
Ngomeni | 6,713 |
Nguni | 11,199 |
Tharaka | 5,935 |
Tseikuru | 10,643 |
Waita | 12,898 |
Jumla | x |
*Hesabu ya 1999. |
Wodi | ||
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha | Utawala wa Mitaa |
---|---|---|
Kakuyu / Mukong'a | 5,596 | Mwingi County |
Kanzanzu | 2,492 | Mwingi (Mji) |
Katse / Mutanda / Nguuku | 5,205 | Mwingi County |
Kimangau | 4,263 | Mwingi County |
Kivou / Enziu | 3,848 | Mwingi (Mji) |
Kyuso / Kamuw'ongo | 6,133 | Mwingi County |
Masyungwa / Mivukoni | 6,285 | Mwingi County |
Mitamisyi / Ngomeni | 4,579 | Mwingi County |
Mwingi / Ithumbi | 3,509 | Mwingi (Mji) |
Nguni | 3,688 | Mwingi County |
Tharaka / Kanthungu | 3,351 | Mwingi County |
Tseikuru / Musavani | 6,639 | Mwingi County |
Waita / Endui | 6,784 | Mwingi County |
Jumla | 62,372 | |
*Septemba 2005 [2].
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Mwingi Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |