Eneo bunge la Mwala ni moja kati ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Kaunti ya Machakos, miongoni mwa majimbo naneya kaunti hiyo. Jimbo hili lina wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Masaku County.
Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1988.
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Gideon Nzioka Wambua | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Peter M. Kavisi | KANU | |
1997 | John Mutua Katuku | SDP | |
2002 | John Mutua Katuku | KANU | |
2007 | Daniel Muoki | ODM-Kenya |
Kata | |
Kata | Idadi ya Watu |
---|---|
Ikalaasa | 9,979 |
Kibauni | 10,643 |
Masii | 26,717 |
Mbiuni | 33,373 |
Miu | 13,741 |
Muthetheni | 17,816 |
Mwala | 35,425 |
Vyulya | 11,850 |
Wamunyu | 14,462 |
Yathui | 13,123 |
Jumla | 187,129
|
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Waliojisajili |
---|---|
Kibauni / Ikalaasa | 7,266 |
Masii | 9,839 |
Mbiuni / Kathama | 11,820 |
Muthetheni / Miu | 10,840 |
Mwala | 12,961 |
Vyulya | 4,284 |
Wamunyu / Yathui | 10,141 |
Jumla | 67,151 |
*Septemba 2005 [2].
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Mwala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |