Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Eneo bunge la Mbeere Kusini (awali: Gachoka) ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo mane ya Kaunti ya Embu. Ina Wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa Baraza la Mbeere County.
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya wa 1988.
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
---|---|---|---|
1988 | Jeremiah Nyagah | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Norman Nyagah | DP | |
1997 | Jeremiah Nyagah | KANU | |
2002 | Jeremiah Nyagah | NARC | |
2007 | Mutava Musyimi | PNU |
Kata | |
Kata | Idadi ya Watu* |
---|---|
Karaba | 18,544 |
Kiambere | 12,698 |
Kianjiru | 20,506 |
Makima | 15,062 |
Mavuria | 20,134 |
Mbeti South | 16,087 |
Riakanau | 14,181 |
Jumla | x |
Hesabu ya 1999. |
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Waliojisajili |
---|---|
Karaba | 7,779 |
Kiambere | 4,356 |
Kianjiru | 6,790 |
Makima | 5,643 |
Mavuria | 7,828 |
Mbeti South | 7,302 |
Riakanau | 5,468 |
Jumla | 45,166 |
*Septemba 2005 [2].
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Mbeere Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |