Jamhuri ya Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Eneo bunge Lamu Mashariki ni Jimbo la Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo mawili ya kaunti ya Lamu, pwani mwa Kenya. Jimbo hili lina wodi sita, zote zikichagua madiwani katika baraza la kaunti.
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1966, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Abubakar H. M. Madhubuti.
Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | vidokezo |
---|---|---|---|
1966 | Abubakar H. M. Madhubuti | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1969 | Abubakar H. M. Madhubuti | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1970 | Mzamil Omar Mzamil | KANU | Uchaguzi Mdogo, Mfumo wa Chama Kimoja |
1974 | Abubakar H. M. Madhubuti | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1979 | Mzamil Omar Mzamil | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1983 | Mzamil Omar Mzamil | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1988 | Abubakar H. M. Madhubuti | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
1992 | Abu Chiaba | KANU | |
1997 | Mohamed Salim Hashim | KANU | |
2002 | Abu Chiaba | KANU | |
2007 | Abu Chiaba | PNU |
Kata | |
Kata | Idadi ya Watu* |
---|---|
Basuba | 873 |
Faza | 2,166 |
Kiunga | 1,040 |
Kizingitini | 1,733 |
Mbwajumwali | 2,903 |
Ndau | 2,205 |
Pate | 2,144 |
Siyu | 2,137 |
Tchundwa | 3,221 |
Jumla | x |
Hesabu ya 1999. |
Wodi | |
Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha |
---|---|
Basuba | 311 |
Faza / Tchundwa | 2,971 |
Kiunga | 1,107 |
Kizingitini West | 3,646 |
Ndau | 1,042 |
Siyu / Pate | 2,558 |
Total | 11,635 |
*Septemba 2005 [2].
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Lamu Mashariki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |