Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Moi


Chuo Kikuu cha Moi ni chuo kikuu mjini Eldoret, magharibi mwa Kenya. Ni mojawapo wa taasisi saba za elimu ya juu za kitaifa, zingine zikiwa Chuo Kikuu cha Nairobi, Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Kilimo na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Maseno University, Chuo Kikuu cha Egerton, Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Kimathi na Chuo Kikuu cha Kenyatta. Kilianzishwa mwaka wa 1984 na Sheria ya Bunge ya Chuo Kikuu cha Moi kufuatia mapendekezo ya Tume ya Mackay. Hadi mwaka wa 2007 kilikuwa na wanafunzi zaidi ya 20,000, 17,086 walikuwa wanafunzi wa shahada, na kina matawi 8 ya vyuo vyake pamoja na vyuo viwili vya kiufundi.

Chuo kinasisitiza sayansi na teknolojia kuliko sanaa. Kina shule zifuatazo:

Matawi ya vyuo :

Tawi la Main Campus

Chepkoilel Campus

Town Campuses

Matawi ya Umbali:

Vyuo vitegemezi

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Moi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.