Augustine Vuma Holle (amezaliwa 08 Agosti 1990) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kasulu vijijini kwa miaka 2015 – 2025. [1]
Alisoma shule ya Bagamoyo secondary kuanzia mwaka 2006 - 2009 o-level.