Mt. Antoni Maria.

Antoni Maria Zakaria (kwa Kiitalia Antonio Maria Zaccaria; Cremona, 1502 - Cremona, 5 Julai 1539) alikuwa padri na tabibu kutoka Italia kaskazini.

Alianzisha shirika la Makleri wa Mt. Paulo, maarufu kama Wabarnaba, ila kuamsha maisha ya kiroho ya waumini [1].

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 3 Januari 1890, tena mtakatifu tarehe 15 Mei 1897.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]
  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/28100
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.