Ally Salim Khamis (alizaliwa 30 machi 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Wananchi (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mwanakwerekwe kwa miaka 20152020.[1] [2]

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Mbunge-ahoji-hisa-za-Z-bar-ATCL/1597296-3200456-format-xhtml-mpxva1/index.html