Shaunge
Shaunge wa Afrika
Shaunge wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Gruiformes (Ndege kama korongo)
Familia: Rallidae (Ndege walio na mnasaba na viluwiri)
Jenasi: Porphyrio
Brisson, 1760
Ngazi za chini

Spishi 14:

  • P. albus (Shaw, 1790)
  • P. alleni Thomson, 1842
  • P. coerulescens (Sélys Longchamps, 1848)
  • P. flavirostris (Gmelin, 1789)
  • P. hochstetteri (Meyer, 1883)
  • P. indicus Horsfield, 1821
  • P. madagascariensis (Latham, 1802)
  • P. mantelli (Owen, 1848)
  • P. martinicus (Linnaeus, 1766)
  • P. melanotus Temminck, 1820
  • P. paepae Steadman, 1988
  • P. poliocephalus Latham, 1802
  • P. porphyrio (Linnaeus, 1758)
  • P. pulverulentus Temminck, 1826

Shaunge ni ndege wa jenasi Porphyrio katika familia ya Rallidae. Huitwa kukutanda pia. Wanafanana sana na kukuziwa lakini rangi yao ni buluu au zambarau. Wana kigao chekundu isipokuwa Porphyrio flavirostris, ambaye ana kigao njano, na P. martinicus, ambaye ana kigao buluu. Mwenendo wao ni kama kukuziwa.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Spishi za kabla ya historia

Picha