Origen, kwa Kigiriki Ὠριγένης Ōrigénēs, (185 - 253), mwana wa mfiadini Leonidas wa Aleksandria, alikuwa padri kutoka Aleksandria (Misri) aliyehamia Kaisarea (Palestina) na kuendeleza kazi yake kama mtaalamu maarufu wa Biblia.[1][2][3][4][5].
Yesu, miguu yangu ni michafu. Njoo kama mtumwa kwangu, mimina maji katika beseni lako, njoo unitawadhe miguu. Ninapoomba hivyo najua kuwa nathubutu mno, lakini naogopa tishio lililotolewa uliponiambia, “Nisipokutawadha miguu, huna ushirika nami”. Basi, osha miguu yangu, kwa kuwa naonea shauku urafiki wako.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |