Mwaramoni (Castanea spp.) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mwaramoni
| ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 8
|
Mwaramoni ni mti mikubwa wa jenasi Castanea katika familia Fagaceae.
Matunda, yanayoitwa maramoni, yana rangi ya kahawia nyekundu au aramoni na hugubikwa na gamba lenye miiba mingi (kupula kwa kisayansi). Maramoni hupikwa au huchomwa kabla kokwa yake haijaliwa.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mwaramoni kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |