Kipala, unakaribishwa kujiunga kwenye kikundi cha mazungumzo kuhusu mawikipedia ya lugha mbalimbali za Kiafrika. Naomba utembelee http://groups.yahoo.com/group/afrophonewikis/ kujiandiksha. Asante, Malangali 19:21, 16 Agosti 2006 (UTC)
Maswali magumu Kipala. Unaonaje nikiweka maswali haya pale kwenye kamusi hai mtandaoni? Binafsi ninapendelea "gamba" zaidi ya "ganda." Na "kiini" zaidi ya "masoka". Sioni ubaya kwenye kuazima neno na hivyo kutumia "manto." Unaonaje tukiuliza? --Ndesanjo
Kipala, nimejaribu kuweka jedwali kuhusu BBC lakini limekataa. Msaada? (ndesanjo)
Nimeona sehemu mbalimbali (nje ya Wikipedia) zikitumia Jamhuri ya Kijerumani kama ilivyo kwenye Wikipedia. Kwanini isiwe Jamhuri ya Ujerumani? --Ndesanjo
Hello Kipala. Now that you are back, I would like to draw your attention to something which I find difficult to explain in Swahili. Have you noticed that since a while the lines that separate the sections of the articles are visible inside the taxoboxes? This is not the case in other Wikipedias. Can this be fixed? ChriKo 21:42, 13 Septemba 2006 (UTC)
Naam kipala...
Hii ni kuonyesha ni jinsi gani nimefurahishawa na jinsi ulivyo hariri na kupangilia makala kuhusu Ubuddha. Kwa kweli imependeza!! Naomba uiangalie nyingine iliyopo kwenye majadiliano kuhusu Ukristo ningependa kuifupisha lakini kuna baadhi ya vielementi naona bado ni muhimu ukizingatia bado ninaiendeleza ili baadae ichujike. Hongera umechuje vizuri ile ya Ubuddha... Hii ya Ukristo naomba tusaidiane nayo ije kupendeza.
Upendo,
Moses
Kipala,
nashukuru kwa shauri lako... Ile makala ya "Ukristo" nadhani mbele nitaivunja kuwa Viungo tofauti vingi. Kwa mfano: Musa, Majia, majusi (Magic, Astrology), ilimu (esoteric), alikimu(alchemy), ginosia (gnosis), Agano la kale, Agano Jipya, Historia ya Kanisa, Nembo za kiilimu (esoteric seals and symbols), mafundisho, Kanisa zamani na sasa. Hivyo ninashauku ya makala nyingi. Labda na wewe umegundua sijamaliza; kwa kuwa nahitaji kwanza na makala ya mjadala kwani maneno mengi nimebuni mwenyewe na nitazidi kuyaleta. Kwa kweli inahitaji kutulia na wala sina haraka. Nikimaliza vipande vya sasa, nitasonga kwenye mambo ya sayansi. Naomba uendelee kufuatilia na kama utaanza kuona maana, ruhusa kuvunja makala na kutengeneza makala tofauti zenye kuingiliana.
Ahsante
Hujambo Kipala, habari za siku nyingi? ninanfurahi kupata ushauri kutoka kwako, tayari nimeufanyia kazi, ahsnte kwa kunikumbusha. --Joel Niganile 16:43, 22 Julai 2007 (UTC)
Kipala, kuhusu tarakishi au tarakilishi. Je matumizi ya tarakishi yapo wapi na wapi? Mradi wa Kuswahilisha Programu Huria (ule wa Kilinux), magazeti ya Kiswahili tarakilishi inatumiwa. Lakini inawezekana sio sahihi. Je hii umepata wapi? Tushauriane.
--Ndesanjo 14 Agosti 2007
Ahsante Ndugu Kipala zaidi ya Vipala kwa kuni karibisha kwenye Wikipedia na mi pia ni Miongoni mwa wana harakati kuiwezesha Wikipedia ya Kiswahili kuwa juu zaidi. hivyo Tushirikiane. Muddyb Blast Producer E-Mail- Muddybtz@yahoo.com, Mikito45@yahoo.com, Maendeleotz@yahoo.com
Swadaktaa. Mimi nipo tayari kwa hilo kwani huku niliko ni Rahsi kuwapata hao wasanii na kuzungumza nao ni kiasi cha kuamua jumapli moja kuwatafuta wapi nitawapata na kuanza kufanya nao Mahojiano. Ndugu nina maswali kdahaa kuhusiana na wewe binafsi pia ki Wikipedia Kwanza binasi
Ni hayo sina mwengi zaidi mkubwa ila kuhusu Wasaanii umefanikiwa nitawatafuta na kufanya nao Mahojiano unaweza kutembela moja kati ya makala ambazo mimi nimeanadaa ni Professor Jay Inspector Haroun na Nyingine nyingi tu. Tupo pamoja wala usihofu kuhusu kuindeleza Wikipedia
Naam mkubwa nimekupta vilivyo na nimejaribu kutafuta zile baadhi ya makala nimeziona karibuni zote kwenye Google lakini kweny Yahoo bado sijafahamu kwanini lakini hamna neno zita appear soon kinachotakiwa ni Subila kila kitu kitakuwa pia unaweza kuhariri zile makala kwa uoande lugha huenda nikawa nimeandika lugha ambayo watu wengine wanaweza wasizielewe hivyo Tushirikiane. Mimi binafsi nime amua kuwa Mwana Wikipedia sasa basi hizi fikra zangu sitaki zigonge mwamba kwaivyo Mr Kipala along with Mr Ndesanjo, Oliver, nk. Msiinitupe mkono tuwe kwa kila atua, mimi nitabaki kwenye sekta ya Muziki na Filamu nitawafuatilia kwa undani ili hizi makala za wikipedia ziwe za uhakika zaidi na kuaminika hivyo naomba msaada wako mzee kipala katika kuendleza hizi makala zangu na kila makala ambayo mimi nime andika nitazirekebisha na kuhakikisha kuwa zime kuwa za kweli na bora zaidi. kila la kheri mzee kipala wa ujerumani pole na joto Muddyb Blast Producer