Sanamu ya Mt. Kolomba.

Kolomba wa Sens (Santa Colomba de Sanabria, Hispania, 257 - Sens, leo nchini Ufaransa, 273) alikuwa bikira wa Hispania ambaye alihamia Galia akabatizwa na hatimaye akauawa kwa ajili ya imani ya Kikristo [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Desemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91596
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.