Kinubi
|
![Kinubi mkia-kahawia](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/10/Piapiac_Kedougou.jpg/250px-Piapiac_Kedougou.jpg)
Kinubi mkia-kahawia
|
Uainishaji wa kisayansi
|
Himaya:
|
Animalia (Wanyama)
|
Faila:
|
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Ngeli:
|
Aves (Ndege)
|
Oda:
|
Passeriformes (Ndege kama shomoro)
|
Familia ya juu:
|
Corvoidea (Ndege kama kunguru)
|
Familia:
|
Corvidae (Ndege walio na mnasaba na kunguru)
|
Jenasi:
|
Cissa Boie, 1826
Crypsirina Vieillot, 1816
Cyanopica Bonaparte, 1850
Dendrocitta Gould, 1833
Pica Brisson, 1760
Platysmurus Reichenbach, 1850
Ptilostomus Swainson, 1837
Temnurus Lesson, 1831
Urocissa Cabanis, 1850
|
Spishi:
|
Angalia katiba
|
|
Vinubi ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi mbalimbali katika familia Corvidae. Kinubi mkia-kahawia huitwa kinubi kwa ufupi pia. Ndege hawa hawana wote mhenga mmoja. Mkia wao ni mrefu kuliko ule wa kunguru. Spishi nyingi ni nyeusi au nyeusi na nyeupe; nyingine zina rangi ya buluu, ya majani au ya kahawa. Wanatokea Amerika ya Kaskazi, Ulaya, Afrika na Asia. Hula nusra kila kitu: wanyama na ndege wadogo, wadudu, mizoga, matunda, nafaka n.k. Hulijenga tago lao kwa vijiti mtini. Jike huyataga mayai 5-10.
Spishi za Afrika
- Pica pica, Kinubi Rangi-mbili (Common Magpie)
- Ptilostomus afer, Kinubi au Kinubi Mkia-kahawia (Piapiac)
Spishi za mabara mengine
Spishi za kabla ya historia
- Pica mourerae (Mwisho wa Pliocene – mwanzo wa Pleistocene ya Mallorca)