Gwambina F.C. ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Tanzania iliyopo Mkoa wa Mwanza. Ilianzishwa mwaka 2019 ikafaulu kupanda juu na kuingia Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye mwaka 2020.[1]
Michezo yao ya nyumbani inachezwa kwenye Uwanja wa Gwambina.